Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein aapisha makatibu wakuu - LEKULE

Breaking

20 Apr 2016

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein aapisha makatibu wakuu

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Dkt.Abduhamid Yahya Mzee kuwa Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar 
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Nd,Salum Maulid Salum kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar 
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Nd, Joseph Abdalla Meza kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais  katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Dkt.Juma Malik Akili kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya  katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Nd,Mustafa Aboud Jumbe kuwa  Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Nd,Juma Ali Juma kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo,Maliasili,Mifugo na Uvuvi  katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar 
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Nd,Omar Hassan Omar kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo  katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Dkt.Mwatima  Ameir Issa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo  katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Dkt.Jamala Adam Taib kuwa Mkurugenzi Mkuu Wizara ya Afya
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Nd, Shomari Omar Shomari kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi,Mawasilianona Usafirisahaji katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar. Picha na Ikulu.

No comments: