TANESCO NA JICA WAFANIKIWA KUPUNGUZA MATUKIO YA KUKATIKA UMEME KWA ASILIMIA 20 NA KUOKOA SH.2.4 BILIONI - LEKULE

Breaking

15 Feb 2016

TANESCO NA JICA WAFANIKIWA KUPUNGUZA MATUKIO YA KUKATIKA UMEME KWA ASILIMIA 20 NA KUOKOA SH.2.4 BILIONI


 Viongozi wa JICA
 Viongozi wa JICA

 Viongozi wa TANESCO
 Viongozi wa Shirika la Umeme Tanesco kutoka kushoto Naibu Mkurugenzi Mtendaji -Uwekezaji Mhandisi,Decklan Mhaiki,Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji-Usambazaji na Huduma kwa Wateja Mhandisi,Sophia Mgonja na Meneja Mafunzo Dorothy Migembe.
 Kiongozi wa JICA akizungumza na waandishi.
 Naibu Mkurugenzi Mtendaji -Uwekezaji Mhandisi,Decklan Mhaiki,akizungumza na waandishi.
 Naibu Mkurugenzi Mtendaji -Uwekezaji Mhandisi,Decklan Mhaiki,akipokea zawadi kutoka kwa mmoja wa viongozi wa JICA.
 Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji-Usambazaji na Huduma kwa Wateja Mhandisi,Sophia Mgonja,akipokea zawadi kutoka kwa mmoja wa viongozi wa JICA. 
 Sehemu ya viongozi wa JICA.
 Wafanyakazi wa Tanesco. 
 Viongozi wa Tanesco wakifuatilia jambo wakati wa mkutano.
Viongozi wa Tanesco na JICA wakiwa katika picha ya pamoja.

No comments: