JPM VS JK IN 100 DAYS - LEKULE

Breaking

16 Feb 2016

JPM VS JK IN 100 DAYS


1. Hakuwa  na  Semina  elekezi  kwa Mawaziri wake.Kitendo  hicho  kiliokoa  shilingi  biloni 2  ambazo  zilitumika  kwa  kazi  nyingine.

2. Makusanyo  ya  mapato  yaliongezeka  baada  ya  kuingia  madarakani  kutoka  bilioni 900  mpaka  trilioni 1.4 kwa  mwezi.

3. Alikabiliwa  na  changamoto  za  ukwepaji kodi  na  matumizi  mabaya  ya  ofisi.Mfano  sakata  la  makontena  na  watendaji bandarini  na  TRA.

4. Alikaa siku 3  bila  baraza  la  mawaziri  kuanzia  Novemba 5,2015  alipoapisha  hadi  Disemba 10,2015

5. Alipunguza  idadi  ya  mawaziri  katika  baraza  lake,kutoka  mawaziri 26  hadi  kufikia  mawaziri 19.

1. Alifanya  semina  elekezi  kwa  mawaziri  wake,hata hivyo gharama  halisi  za semina  elekezi  hazikuwekwa  bayana.

2. Makusanyo  ya  mapato  yalipungua  wakati  anaingia  madarakani  kutoka  bilioni  190  mpaka  bilioni 157  kwa  mwezi.

3. Alikabiliwa  na  changamoto  ya  ukame  na  ujambazi.Mfano  ni  tukio  la  wizi  wa  milioni 300  benki  ya  Standard  Chartered.
4.  Alikaa  siku 14  bila  baraza  la  mawaziri, kuanzia  Disemba 21, 2005  alipoapishwa  mpaka  Januari 4,2005.

5.  Aliongeza  idadi  ya  mawaziri  katika  baraza  lake  kutoka  mawaziri 27  hadi  kufikia  mawaziri 29  wakati  anaingia.

No comments: