Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na
mkewe Mama Janeth Magufuli wakimjulia hali Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la
Katoliki la Dar es salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo alielazwa
katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo katika hospitali ya
Taifa ya Muhimbili leo January 1, 2016.
Kardinali Pengo alilazwa hospitalini hapo jana jioni kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa afya yake. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment