Mwanamke huyo kiwa juu ya paa.
Watu wakitaharuki.
…Polisi akiwa pembeni ya uzio wa majengo ya wizara ya fedha na mipango mara baada ya mwanamke huyo kuwa juu ya paa la nyumba hizo.
Watu wakitaharuki.
…Polisi akiwa pembeni ya uzio wa majengo ya wizara ya fedha na mipango mara baada ya mwanamke huyo kuwa juu ya paa la nyumba hizo.
Dar es Salaam
Manamke ambaye jina lake halikupatikana
mara moja akiwa amekaa juu ya paa la majengo ya Wizara ya Fedha na
Mipango jijini Dar es Salaam leo.
Mwanamke huyo akizungumza na watu
waliokusanyika lakini alikuwa hasikiki vizuri maneno aliyokua akiongea
kutokana na wananchi waliokusanyika kumuuliza maswali mengi kwa wakati
mmoja.
Baada ya muda wafanyakazi wa wizara hiyo
walimwekea ngazi na kumshusha ili kumhoji zaidi nini kimemfanya apande
juu ya paa la majengo hayo
No comments:
Post a Comment