Aliyekuwa
mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo na
kuungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa,
akimjulia hali mzee Khalfan Kangero (95), pamoja na wagonjwa wengine
katika Hospitali ya Kilimanjaro CRCT mjini Moshi jana akiwa njiani
kuelekea Monduli mkoani Arusha kwa mapumziko ya kuuaga mwaka.
29 Dec 2015
New
Edward Lowassa Atoa Mkono wa Pole Kwa Wagonjwa Hospitali Ya Kilimanjaro CRCT
About SOSTENES LEKULE JR
Hi, I`m Sostenes, Electrical Technician and PLC`S Programmer.
Everyday I`m exploring the world of Electrical to find better solution for Automation. I believe everyday can become a Electrician with the right learning materials.
KITAIFA
Tags
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment