Bado una wasiwasi juu ya maelewano kati ya muimbaji wa Nigeria,
Davido na Diamond? Pamoja na Diamond kujibu kwenye Interview mbalimbali
kuwa hawana tatizo, Davido naye ametoa uthibitisho mwingine kuwa hakuna
‘beef’ kati yao.
Ni jambo gumu kupost kitu kinachomhusu mtu ambaye hamna maelewano,
ndio maana kwa post hii ya Davido watu wanapaswa kufahamu kuwa jamaa
hawa wawili wanaiva chungu kimoja, na tutarajie kuwaona wakitumbuiza
tena pamoja kwenye tuzo za MTV mwezi huu.
No comments:
Post a Comment